Zitto na Demokrasia

Zitto na Demokrasia

RASIMU YA RATIBA YA SHUGHULI ZA KAMATI YA BUNGE YA HESABU ZA MASHIRIKA YA UMMA (POAC)

with 4 comments

LENGO: KUCHAMBUA NA KUJADILI TAARIFA YA HESABU ZILIZOKAGULIWA ZA MASHIRIKA YA UMMA KWA MWAKA WA FEDHA UNAOISHIA JUNI 30, 2010

S/N

TAREHE

SHIRIKA

MHUSIKA

1 Jumamosi na Jumapili 22 -23 Oktoba Wajumbe kuwasili Dar es salaam  

 

 

 

 

 

  • WAJUMBE WA KAMATI
  • OFISI YA CAG
  • WENYEVITI WA BODI ZA MASHIRIKA HUSIKA
  • WATENDAJI WA MASHIRIKA
  • MSAJILI WA HAZINA

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

2 Jumatatu 24 Oktoba
  1. Bodi ya Utalii Tanzania ( TTB)
  2. Benki ya Posta Tanzania ( TPB)
3 Jumanne 25 Oktoba  

  1. kituo cha uwekezaji Tanzania ( TIC)
  2. Mfuko wa Pensheni ya Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa ( LAPF)
4 Jumatano 26 Oktoba
  1. Mamlaka ya Ufundi stadi Tanzania ( VETA)
  2. Mfuko wa Pensheni wa Mashirika ya Umma ( PPF)
5 Alhamisi 27 Oktoba
  1. Shirika la Mafuta Tanzania ( TPDC)
  2. Chuo cha Uhasibu Arusha
  3. Chuo kikuu cha Ardhi
6 Ijumaa 28 Oktoba
  1. Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji ( EWURA)
  2. Shirika la Madini Tanzania ( STAMICO)

 

 

7 Jumamosi na Jumapili 29 – 30 Oktoba Mapumziko ya Mwisho mwa wiki

 

 

8 Jumatatu 31 Oktoba        1.   Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu ( HESLB)

2.  Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania ( TANESCO)

 

9 Jumanne 01 Novemba
  1. Shirika la Nyumba la Taifa (NHC)
  2. Maktaba kuu ya Taifa

 

10 Jumatano Novemba 02
  1. Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano ( TCRA)
  2. Tume ya Taifa ya Mipango ya Ardhi
  3. Chuo kikuu Dodoma
11 Alhamisi Novemba 03       1.Benki ya Rasilimali Tanzania (TIB)

2. Chuo cha Mipango na Maendeleo Vijijini ( IRDP)

 

12 Ijumaa Novemba 04
  1. Benki ya Twiga ( TWIGA BANCORP)
  2. Bodi ya Pamba Tanzania
  3. Chuo cha Taifa cha usafirishaji ( NIT)

 

13 Jumamosi na Jumapili 05 – 06 Novemba Kuelekea Dodoma Katibu wa Bunge

 

TANBIHI          

  • Saa 3:00 Asubuhi: kuanza Kwa kikao
  • Saa 4:00 Asubuhi: chai

 

Written by zittokabwe

October 25, 2011 at 12:40 PM

4 Responses

Subscribe to comments with RSS.

  1. Kazi yenu kubwa iko TANESCO. Hawa watu wanatuumiza sana, wanatufanya tuchukie kuwa Watanzania, tunalala gizani bila sababu, viwanda na shughuli mbalimbali za kiuchumi zinasimama. Ebu wafikirie wale wajasiriamali wa pale Gerezani wanavyoteseka.

    Kyaruzi

    October 25, 2011 at 12:55 PM

  2. Asante kwa ratiba hii ya kupitia mashirika mbalimbali. Munapoenda Board ya mikopo naomba muangalie sana kiwango kipya cha ulipaji mikopo. Sasa hivi nasikia kiwango kimepandA TOKA tH 50,000 KWA MWEZI HADI 0.08% Yaani asilimia nane. Inaweza kuonekana kidogo sana lakini hii si hela ndogo kwa mfanyakazi na ugumu huu wa maisha. Chukulia mtu anayelipwa laki tano(800,000), kama zamani huyu mtu alikuwa anaondoka na Tsh 607,000 baada ya makato, sasa anaondoka na Tsh 550,000, hii si hela ndogo kukatwa ni nyingi sana. Lakini pia mtu aliyekuwa analipwa Tsh 1,000,000 na akawa anaondoka na tsh 730,000 sasa kwa asilimia nane hii anaondoka na tsh 650,000. Aliyekuwa analipwa Tsh 2,000,000 sasa atakatwa Tsh 160,000 kwa mwezi.Haya ni makato makubwa sana kwa mtumishi na bado gharama za nauli, mafuta n.k Sasa ona kwa mtu ambaye analipwa Tsh 300,000 zamani aliondoka na Tsh 246,000 sasa anaondoka na 220,000. Hebu angalieni viwango hivi vipya na kulinganisha na sheria ya kwanza kabisa ambayo wanafunzi walisaini kuhusu urudishaji wa mikopo hii ambapo ilisema wangeruisha kwa miaka 10-15 na sasa inaonekana wanataka kuirudisha ndani ya miaka miwil hadi mitatu tu

    Silas

    October 26, 2011 at 9:36 AM

  3. Mungu akupiganie na akupe nguvu. Daima za kuipigania Nchi, GET WELL SOON……………. Taifa baado linakuhitaji Kabwe.

    Grace Joram

    October 31, 2011 at 10:01 AM

  4. Asante kwa ratiba hii ya kupitia mashirika mbalimbali. Munapoenda Board ya mikopo naomba muangalie sana kiwango kipya cha ulipaji mikopo. Sasa hivi nasikia kiwango kimepandA TOKA tH 50,000 KWA MWEZI HADI 0.08% Yaani asilimia nane. Inaweza kuonekana kidogo sana lakini hii si hela ndogo kwa mfanyakazi na ugumu huu wa maisha. Chukulia mtu anayelipwa laki tano(800,000), kama zamani huyu mtu alikuwa anaondoka na Tsh 607,000 baada ya makato, sasa anaondoka na Tsh 550,000, hii si hela ndogo kukatwa ni nyingi sana. Lakini pia mtu aliyekuwa analipwa Tsh 1,000,000 na akawa anaondoka na tsh 730,000 sasa kwa asilimia nane hii anaondoka na tsh 650,000. Aliyekuwa analipwa Tsh 2,000,000 sasa atakatwa Tsh 160,000 kwa mwezi.Haya ni makato makubwa sana kwa mtumishi na bado gharama za nauli, mafuta n.k Sasa ona kwa mtu ambaye analipwa Tsh 300,000 zamani aliondoka na Tsh 246,000 sasa anaondoka na 220,000. Hebu angalieni viwango hivi vipya na kulinganisha na sheria ya kwanza kabisa ambayo wanafunzi walisaini kuhusu urudishaji wa mikopo hii ambapo ilisema wangeruisha kwa miaka 10-15 na sasa inaonekana wanataka kuirudisha ndani ya miaka miwil hadi mitatu tu
    +1

    Dix Mcbridge

    November 5, 2011 at 6:07 AM


Leave a comment