Zitto na Demokrasia

Zitto na Demokrasia

Posts Tagged ‘ratiba

RASIMU YA RATIBA YA SHUGHULI ZA KAMATI YA BUNGE YA HESABU ZA MASHIRIKA YA UMMA (POAC)

with 4 comments

LENGO: KUCHAMBUA NA KUJADILI TAARIFA YA HESABU ZILIZOKAGULIWA ZA MASHIRIKA YA UMMA KWA MWAKA WA FEDHA UNAOISHIA JUNI 30, 2010

S/N

TAREHE

SHIRIKA

MHUSIKA

1 Jumamosi na Jumapili 22 -23 Oktoba Wajumbe kuwasili Dar es salaam  

 

 

 

 

 

  • WAJUMBE WA KAMATI
  • OFISI YA CAG
  • WENYEVITI WA BODI ZA MASHIRIKA HUSIKA
  • WATENDAJI WA MASHIRIKA
  • MSAJILI WA HAZINA

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

2 Jumatatu 24 Oktoba
  1. Bodi ya Utalii Tanzania ( TTB)
  2. Benki ya Posta Tanzania ( TPB)
3 Jumanne 25 Oktoba  

  1. kituo cha uwekezaji Tanzania ( TIC)
  2. Mfuko wa Pensheni ya Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa ( LAPF)
4 Jumatano 26 Oktoba
  1. Mamlaka ya Ufundi stadi Tanzania ( VETA)
  2. Mfuko wa Pensheni wa Mashirika ya Umma ( PPF)
5 Alhamisi 27 Oktoba
  1. Shirika la Mafuta Tanzania ( TPDC)
  2. Chuo cha Uhasibu Arusha
  3. Chuo kikuu cha Ardhi
6 Ijumaa 28 Oktoba
  1. Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji ( EWURA)
  2. Shirika la Madini Tanzania ( STAMICO)

 

 

7 Jumamosi na Jumapili 29 – 30 Oktoba Mapumziko ya Mwisho mwa wiki

 

 

8 Jumatatu 31 Oktoba        1.   Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu ( HESLB)

2.  Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania ( TANESCO)

 

9 Jumanne 01 Novemba
  1. Shirika la Nyumba la Taifa (NHC)
  2. Maktaba kuu ya Taifa

 

10 Jumatano Novemba 02
  1. Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano ( TCRA)
  2. Tume ya Taifa ya Mipango ya Ardhi
  3. Chuo kikuu Dodoma
11 Alhamisi Novemba 03       1.Benki ya Rasilimali Tanzania (TIB)

2. Chuo cha Mipango na Maendeleo Vijijini ( IRDP)

 

12 Ijumaa Novemba 04
  1. Benki ya Twiga ( TWIGA BANCORP)
  2. Bodi ya Pamba Tanzania
  3. Chuo cha Taifa cha usafirishaji ( NIT)

 

13 Jumamosi na Jumapili 05 – 06 Novemba Kuelekea Dodoma Katibu wa Bunge

 

TANBIHI          

  • Saa 3:00 Asubuhi: kuanza Kwa kikao
  • Saa 4:00 Asubuhi: chai

 

Written by zittokabwe

October 25, 2011 at 12:40 PM