Posts Tagged ‘zao la mkonge’
Zitto Kabwe akiongea na wananchi Handeni, Tanga
via Bongoline
Naibu Katibu Mkuu wa Chadema-Bara Mh.Zitto Kabwe (Mb) amewataka Wananchi wa Kata ya Mkata Wilayani Handeni Mkoani Tanga kujiunga na Mageuzi kwa kuchagua vyama vya upinzani ili kuharakisha maendeleo ya Mkoa wa Tanga na kuwa na sauti mbadala. Zitto yuko Mkoani Tanga kwa ziara ya kujenga Chama iliyoanza tarehe 18Feb 2012
HOJA BINAFSI YA MHE KABWE ZUBERI ZITTO (MB) YA KUTAKA BUNGE LIJADILI HALI YA ZAO LA MKONGE NCHINI NA KUAZIMIA KWAMBA MWAKA 2012 NI MWAKA WA KUPANDA MKONGE
MAELEZO YA ZIADA YA HOJA BINAFSI YA MHESHIMIWA KABWE ZUBERI ZITTO(MB) KUHUSU HALI YA ZAO LA MKONGE NCHINI NA BUNGE KUAZIMIA KWAMBA MWAKA 2012 UWE MWAKA WA KUPANDA MKONGE
HOJA BINAFSI YA MHE KABWE ZUBERI ZITTO (MB) YA KUTAKA BUNGE LIJADILI HALI YA ZAO LA MKONGE NCHINI NA KUAZIMIA KWAMBA MWAKA 2012 NI MWAKA WA KUPANDA MKONGE