Zitto na Demokrasia

Zitto na Demokrasia

Posts Tagged ‘zao la mkonge

Asanteni Tanga!!-Picha Mapokezi Ziara ya Tanga

with one comment

Mapokezi Ziara ya Tanga

This slideshow requires JavaScript.

Written by zittokabwe

March 5, 2012 at 7:04 PM

Zitto Kabwe akiongea na wananchi Handeni, Tanga

with one comment

via Bongoline

Naibu Katibu Mkuu wa Chadema-Bara Mh.Zitto Kabwe (Mb) amewataka Wananchi wa Kata ya Mkata Wilayani Handeni Mkoani Tanga kujiunga na Mageuzi kwa kuchagua vyama vya upinzani ili kuharakisha maendeleo ya Mkoa wa Tanga na kuwa na sauti mbadala. Zitto yuko Mkoani Tanga kwa ziara ya kujenga Chama iliyoanza tarehe 18Feb 2012

Written by zittokabwe

March 2, 2012 at 4:12 PM

HOJA BINAFSI YA MHE KABWE ZUBERI ZITTO (MB) YA KUTAKA BUNGE LIJADILI HALI YA ZAO LA MKONGE NCHINI NA KUAZIMIA KWAMBA MWAKA 2012 NI MWAKA WA KUPANDA MKONGE

with 2 comments

MAELEZO YA ZIADA YA  HOJA BINAFSI YA MHESHIMIWA KABWE ZUBERI ZITTO(MB)  KUHUSU HALI YA ZAO LA MKONGE NCHINI NA BUNGE KUAZIMIA KWAMBA MWAKA 2012 UWE MWAKA WA KUPANDA MKONGE

View this document on Scribd

HOJA BINAFSI YA MHE KABWE ZUBERI ZITTO (MB) YA KUTAKA BUNGE LIJADILI HALI YA ZAO LA MKONGE NCHINI NA KUAZIMIA KWAMBA MWAKA 2012 NI MWAKA WA KUPANDA MKONGE

View this document on Scribd

Written by zittokabwe

February 13, 2012 at 6:47 PM