Zitto na Demokrasia

Zitto na Demokrasia

Barua yangu ya kujiuzulu ubunge

with 11 comments

image

Written by TeamZitto

March 20, 2015 at 9:42 PM

Posted in Uncategorized

11 Responses

Subscribe to comments with RSS.

  1. Binafsi nimeumia sana, uwakilishi wako si tu wana Kigoma Kaskazini bali ni pigo kwetu sisi baadhi ya Vijana. mwenyezi Mungu azidi kukupigania, na kukulinda, hakika Mungu ameona uliyoyafanya katika Taifa letu la Tanzania. kamwe hawezi kukuacha.

    Date: Fri, 20 Mar 2015 18:43:08 +0000 To: alungahyoma@hotmail.com

    alu ngahyoma

    March 20, 2015 at 10:31 PM

  2. nop brother #zito bado twakuitaji

    adamhassanjr

    March 20, 2015 at 11:11 PM

  3. you have done well brother! we will always remember you for the contributions you made to build this Nation..for those who think deeply..we understand well what happened..but you made your history.. i wish you all the best in your next steps…it is my hope that this will not be the end of you to fight for Tanzanians! thanks very much for what you did brothe

    Mohamed Mwabumba

    March 20, 2015 at 11:27 PM

  4. Kila jambo hutokea kwa makusudi, Huenda watu walikuwa wanatamani sana kipawa ulichojaliwa na Mwenyezi mungu, Huenda kwa wivu huo wangeweza kukudharirisha na kukutenda maovu makubwa.
    Huo si mwisho wa maisha bali ni mwanzo tu. Mafanikio yako katika kubadili mfumo wa maendeleo tumeuona na tunajua wewe ni mpiganaji wa kweli.
    Utashinda nasi tupo pamoja katika harakati za kimaendeleo.

    Leo

    March 21, 2015 at 2:52 AM

  5. binafsi nina imani kubwa sana na wewe kwa uchapakazi wako, hivyo basi watu wa leo hawaangalii chama bali wanamwangalia mtu anae wajali lakini pia anawajibikaje juu ya taifa lake, kupitia wewe tumejifunza mengi ama kwa hakika unastahili kuigwa. mwisho uendako nasi tutaenda huko huko

    David Mwaipasi

    March 21, 2015 at 11:18 AM

  6. Brother Hui kwanza n ukomavu Wa kisiasa, always don’t argue with full people bcoz they can drag u to their level, we n muhimu kwa taifa hili kila MTU anajua na anaelewa, niliwai kukwambia cku mmoja watu hao co wema kwako, chain ilianza mbali sn kuanzia Dr labour,kafulila,machali na wengineo, mbunge Wa kwanza Wa chadema ktk historia c alitoka kigoma ujiji? Nakuhakikishia utarudi Bingen kwa kishindo, muhimu kwa watu Wa magaribi in Muda Wa kujipanga, kuimarisha na kujenga miundo mbinu ya siasa yetu ya badae nadhani unanielewa, watu Wa magarib ndio walioleta vuguvugu la Uhuru Wa Tanganyika, ndio waliojenga na kuendeleza mini na majiji ya Tanzania, waliotangaza na kupeperusha bendera ya Tanzania katika nyanja mbali mbali, michezo,muziki,siasa n mengine mengi, hapa namaanisha cc tumepewa dhamana n mungu kusaidia taifa hili,kupitia vipaji tulivyopewa, hakuna kurudi nyuma hats Sikh mmoja,rudi kigoma ujiji nyumbani kwenu tutakupokea kwa mikono miwili, nani Muda Wa kuifuta chadema kigoma umefika, wametunyanyasa sana,watuchafua sn,we n mjiji,n mgoma,n mmanyema, hatuwezi kumdhamini mbon au Huyo Dr. Kalaa wao tukuache MTT Wa nyumban, but n Muda Wa kuandika historia kwao, n Muda Wa kufuta chama chao huku kwetu magaribi,god bless u

    sadallah

    March 21, 2015 at 1:35 PM

  7. All da best broda huu si mwisho ndo mwanzo wa maisha ya siasa nyota yako bado inang’aa

    James

    March 21, 2015 at 3:02 PM

  8. Hata ukisoma historia utaona kuwa viongozi walio pigania haki za wananchi walikutana na vikwazo vingi wapo waliopoteza maisha na wapo waliofungwa! Hivyo basi Mungu ashukuliwe kwani yeye ndiye anayekulinda na kuhakikisha harakati zako hazisimamishwi na kelele za binadam yeyote! Watanzania tuliowengi tuko pamoja na wewe

    peter samora Leba

    March 21, 2015 at 8:58 PM

  9. Pole Sana Mheshimiwa Kwa Kukutwa Na Ajali Ya Kisiasa
    Tuko Pamoja Na Wananchi Wa Mbeya Mjini Tunakuombea Mafanikio Mema Huko Uendako

    exavery mlonganile

    March 21, 2015 at 9:06 PM

  10. Reblogged this on Ntakilutandato's Blog.

    ntakiluta

    July 15, 2015 at 10:43 AM

  11. good

    Mussa R. Ruhamba

    November 5, 2017 at 2:04 AM


Leave a comment