Zitto na Demokrasia

Zitto na Demokrasia

Aliyoyazungumza Zitto kuhusu kongamano la bajeti na yeye kusakwa na polisi @millardayo

with 6 comments

6 Responses

Subscribe to comments with RSS.

  1. Tunaipenda Tanzania Na tuta ilinda kwa Moyo wote. Tukiimba wimbo wa uzalendo #Tanzania Tanzania nakupenda kwa Moyo wote

    kyomolutufyo

    June 13, 2016 at 5:53 PM

  2. HIZI NI CHANGAMOTO ZA KISIASA KWANI DEMOKRASIA YA KISIASA KATIKA NCHI HII NI NGUMU SANA JAPO TUNAHIADA DUNIA KUA SIASA NCHINI NI SHWARI.
    KAZINI BUTI KUFIKIA MALENGO. RAISI ALICHAGULIWA NA KUSEMA WANASIASA WAMSAHIDIE LAKINI KINYUME.

    abdallah shah

    June 14, 2016 at 7:47 AM

  3. Hii inatufundisha kuma tunahitaji kuwa imara maradufu kuhakikisha tunaipigania nchi yetu kuwa na element zote za democracy kwa mujibu wa katiba ya nchi hii. Na hii ni ndani ya vyama pinzani na chama tawala kwa ujumla.

    Maryam

    June 14, 2016 at 1:26 PM

  4. Endelea kutupigania mwami wetu kwani mungu yuko nawe.

    Nashon yusuph

    July 7, 2016 at 11:05 PM

  5. Nimeipenda Hii Mh Zitto Siasa Kipaji Chako Komaa Na Kupinga UDIKTETA

    Thobias Nyati

    September 15, 2016 at 4:52 PM


Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

%d bloggers like this: