Siku ya Tatu: Mpanda Mjini-Ziara Kanda ya Magharibi
Siku ya Tatu: Mpanda Mjini-Ziara Kanda ya Magharibi
Asanteni wananchi wa Mpanda Mjini. Nawashukuru wananchi wa Mkoa wa Katavi. Mapokezi yenu na heshima kubwa mliyonipa mimi na ujumbe wangu imenipa nguvu sana ya kuendelea kufanya siasa za masuala (issues) na majawabu (solutions). Changamoto za maisha magumu vijijini, ardhi, mbolea ya ruzuku, zao la tumbaku na miundombinu tunazibeba na kuwasemea.
Nawapenda sana watu wa Mpanda.
Mungu awabariki.
PICHA
nimekupata mheshimiwa tupo pamoja
dida sheby
October 8, 2013 at 11:19 PM